Nyumba mzuri mnooo inauzwa mbagala maji wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam
Nyumba ina vyumba vi nne, sitting room, dining room na jiko.Nyumna ina parking kubwa, unaweza kuingiza gari ndogo 10.pia ina kisima cha maji baridii
Bei yake shilingi milioni 130
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu