*nyumba (guest house) inauzwa binafsi*
ipo mbagala charambe manispaa ya temeke dar
ina vyumba 10, kati ya hivyo 7 ni self contained, pia pana fremu 4 za biashara...
ukubwa wa eneo: sqm 900
umiliki: mkataba wa mauziano serikali ya mtaa
umbali: meter 800 hivi kutoka barabara kuu ya chamanzi...
bei : 120 million
gharama za kwenda site (service charge) ni tshs 30,000/=
karibu tuwasiliane +
kujiunga na group letu la whatsapp bonyeza hapa