Nyumba kubwa ya kifahari inauzwa chanika barabara ya kwenda zingiziwa wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina vyumba vi tano,sitting room,dining room, store na jiko.
Vyumba vi tatu ni master bedroom.Pia ina visima vya maji vi nne,ina full AC,ina heater na kadhalika.
Bei yake shilingi milioni 170
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu