Nyumba inauzwa mbagala chamazi wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam
Nyumba ipo two in one.
Nyumba kubwa kuna vyumba vi tatu, sitting room, dining room, store na jiko.
Nyumba ndogo kuna sebule chumba master x2.
Nyumba ina full AC,zote mbili,ina kisima cha maji baridii, electric fence,pevi, full tiles na kadhalika
Bei yake shilingi milioni 105
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu