Nyumba yenye vyumba 7 inauzwa mbagala maji matitu.
Nyumba ina vyumba 7, vyote master bedroom.Nyu hii ipo vizuri kwa ajili ya biashara ya kupangisha.Utakisanua kodi shilingi 560,000/ kwa mwezi
Kwa maana kila chumba kinapangishwa elf 80 kwa mwezi.
Bei yake shilingi milioni 75
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu