Apartment zinauzwa mbagala chamazi kwa mzala wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam
Apartment zina vyumba 7,ila kwa mfumo wa chumba sebule choo x 3
Na chumba master ambacho ni pekee hakina sebule kipo ki moja.
Pia ina flame mbili za biashara.Apartment zina full tiles,pevin,mafeni, kisima cha maji baridii.
Bei yake shilingi milioni 98
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu