Nyumba(apartment) inauzwa mbagala chamazi dovya wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina pande mbili.kila upande kuna vyumba vi tatu, sitting room na jiko
Hii nyumba ni kama inatupwa, imeshuka bei kwa asilia 30 kutoka bei yake ya awali.
Bei yake shilingi milioni 70
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu