Apartment zinatupwa mbagala chamazi wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.Apartment zipo mbili kwenye nyumba moja.kwa maana kila upande kuna vyumba vi tatu, sitting room na jiko.Chumba kimoja ni master bedroom kila upande.
Nyumba ina parking ya magari madogo sita.ina full tiles, pevin electric fence na kadhalika.
Ipo umbali wa kilometa moja kutoka Barabara kuu ya lami
(stand chamazi magengeni)
Bei yake shilingi milioni 75
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu.
Ukitaka video yake utarushiwa