Nyumba inauzwa mbagala chamazi wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam
Nyumba zipo mbili kwa moja.
Kwenye nyumba kubwa kuna vyumba vi tatu, sitting room, dining room na jiko.
Kwenye nyumba ndogo kuna chumba sebule master na jiko.Nyumba ipo jerani kabisa na barabara kuu ya lami
Bei yake shilingi milioni 75
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu