Nyumba inauzwa mbagala chamazi kwa mkongo wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam
Nyumba ina vyumba vi nne, sitting room, dining room,jiko na store.
Nyumba ina full tiles, gypsy board, pevin, sliding windows na kadhalika.
ipo umbali wa mita 300 kutoka barabara kuu ya lami (stand)
Bei yake sasa shillingi milioni 105
kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu