Ni boonge la nyumba linauzwa mbagala chamazi wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam
Nyumba ina vyumba vi nne, sitting room, dining room na flame 2.
Nyumba ina eneo kuubwa,unaweza kuingiza gari ndogo zaidi ya 10
Bei yake shilingi milioni 75
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu