Ni nyumba kubwa sana yenye nafasi.Nyumba ipo mbagala chamazi magengeni wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam
Nyumba ina vyumba vi nne.Vyumba vyote ni master bedroom, sitting room, dining room,jiko na store.Pia ina flame mbili za biashara.Na ina kisima cha maji ya baridi.
Nyumba ina face mtaa wa lami.Na ipo kama mita 700 tu kutoka barabara kuu (chamazi magengeni)
Bei yake shillingi milioni 130
kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu