Nyumba inauzwa mbagala chamazi mzambarauni wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina vyumba vi nne, sitting room, dining room na jiko.Vyumba vi wili ni master bedroom
Nyumba ipo jerani kabisa na barabara kuu ya lami.Ni dakika 5 tu kutoka barabara kuu ya lami(stand)
Na cha kufurahisha zaidi Ipo kwenye mtaa mkubwa.
Bei yake shilingi milioni 39
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu