Nyumba inauzwa mbagala chamazi dovya wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam
Nyumba ina vyumba vi nne, sitting room, dining room, store na jiko.Nyumba haipo mbali na barabara kuu ya lami.Karibu
Bei yake shilingi milioni 130
Njooo tuzungumze.
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu