Nyumba inauzwa mbagala chamazi mikumi wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.Nyumba ipo jerani kabisa na barabara kuu.Ipo mita 200 tu kutoka barabara kuu.
Nyumba ina vyumba vi tatu,sitting room,dining room na jiko.
Bei yake shilingi milioni 110
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu.