Nyumba inauzwa mbagala chamazi mikumi wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina vyumba vi tatu, sitting room, dining room na jiko.
Nyumba ina full tiles,full Ac, pelvinn na electric fence.Ipo umbali wa mita 300 tu kutoka barabara kuu ya lami.
Bei yake shilingi milioni 78
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu