Nyumba inauzwa mbagala chamazi Islamic wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam
Nyumba bado finishing ndogo ndogo,ila utamaliziwa finishing iliyobaki ndani ya wiki moja kama utakua interested na hii nyumba kwa thamani hiyo hiyo.Yani utamaliziwa kuanzia vioo, tiles, gypsum board, pevin na kadhaalika
Nyumba ni kuubwa,ina nafasi kubwa sana, kuanzia nyumba yenyewe hadi parking.
Bei yake baada ya finishing shilingi milioni 55.
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu