Nyumba inauzwa mbagala chamazi dovya wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina vyumba vi tatu,sitting room,dining room,store na jiko.pia ina kisima cha maji baridii.security fence,full tiles,pelvin, kioo na kadhalika.
Nyumba ina nafasi sana,ina mageti mawili(parking)
Bei yake shilingi milioni 120
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu