Nyumba inauzwa mbagala chamazi Islamic wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina vyumba vi tatu, sitting room, dining room, store na jiko.
Pia kuna nyumba ndogo yenye chuma sebule choo.
Nyumba ipo kwenye mtaa mkubwa.
Nyumba ina eneo kubwa tu kama uonavyo pichani. Na utafanyiwa finishing sehemu zilizokua bado, kama vioo,tiles na top.
Bei yake shilingi milioni 160
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu