Nyumba inauzwa mbagala chamazi wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina vyumba vi tatu, sitting room, dining room na jiko.karibu nyumba hii pamoja na nyengine za bei tofauti tofauti.
Bei yake shilingi milioni 49
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu