Nyumba mzuri mnoo inauzwa mbagala chamazi wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam
Nyumba ina vyumba vi tatu, sitting room, dining room na jiko
Nyumba mzuri sana,na bei yake kama inatupwa vile, inauzwa kwa thamani duuni kabisa.Njoo uiwahi kabla haijaondoka.
Bei yake shilingi milioni 58
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu