Nyumba inauzwa mbagala chamazi kwa mzala wilaya ya temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina vyumba vi tatu,sitting room, dining room, store na jiko.Pia nyuma kuna mabanda ya kufugia Kuku.
Bei yake shilingi milioni 89
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu.