Nyumba inauzwa mbagala chamazi mikumi wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina vyumba vi tatu, sitting room na jiko.Nyumba ipo jerani kabisa na barabara kuu ya lami,ni kama mita 400 tu.
Bei yake shilingi milioni 34
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu