Nyumba inauzwa mbagala chamazi dovya wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba bado mpya,wewe mteja ndio utakua mtu wa kwanza kuishi ndani ya nyumba hii.
Nyumba ina vyumba vi tatu, sitting room, dining room na jiko.
Bei yake shilingi milioni 65
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu