Nyumba, flame, godown na yard inauzwa mbagala chamazi mfenesini.
Ipo hivi, Kwanza eneo husika lina ukubwa wa square meter 3500,yani hekari moja kasoro kidogo.
Eneo hilo lina flame 11, zote zina wapangaji,kuna godown moja kubwa lenye futi 80x50 yani urefu na upana.Kuna nyumba moja yenye vyumba vi wili na sebule choo,Kuna na yard kama unavyoona pichani.Yani nyumba, godown na yard zipo ndani ya fence.
Bei yake shilingi milioni 380.
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu