Apartment zinauzwa mbagala mbande kisewe wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Apartment zipo 6
Yani,chumba sebule choox6
Kila moja inajitegemea luku yake
na mita yake ya maji.
Pia kuna flame nne za biashara
Apartment zina hati miliki ya wizara
Bei yake shilingi milioni 95
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu