Nyumba mbili kwa pamoja zinauzwa mbagala chamazi kwa Akida wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Kwenye nyumba kubwa kuna vyumba sita, sitting room na jiko.
Kwenye nyumba ndogo kuna chumba sebule choo x2
Bei yake shilingi milioni 88
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu