Nyumba inauzwa mbagala chamazi wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.Nyumba ina vyumba vi tatu, sitting room, dining room na jiko.
Bei yake shilingi milioni 45
Hii ni pamoja na kumaliziwa kila kitu pamoja na vioo madirishani.
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu.