Nyumba inauzwa mbagala chamazi wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam
Nyumba bado finishing ndogo ndogo,ila utamaliziwa finishing kwa gharama ile ile ya bei yake.utamaliziwa kuanzia vioo, tiles, gypsum board na kadhaalika
Nyumba ina vyumba vi tatu, sitting room, dining room na jiko
Bei yake shilingi milioni 45 baada ya finishing
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu