*YARD INAUZWA BINAFSI*
Ukubwa ekari 1
Ipo mbagala chamanzi dar,
Mita 200 hivi kutoka barabara kuu
-Eneo lina uzio na geti, Kuna fremu 12 na zote zina wapangaji, Kuna godown lina ukubwa wa sqm 400, Kuna nyumba ya mlinzi chumba sebule na choo chake...
-Title Deed ipo
*Bei shilingi milioni 370*
Service charge elf 30
Tupigie +
Kujiunga na group letu la Whatsapp bonyeza hapa