Nyumba ya vyumba vitatu vya kulala kimoja master sebure kubwa dinning jiko stoo, choo na bafu vya public,kwa nje kuna sehem ya kupumzikia, kuna boma la vyumba viwili na sebure,maj yapo pia kuna tank la maj, umeme upo, iko ndan ya fens, ina hati miliki, inapatikana Mwanza Busweru center inauzwa 100million karbu sana cm075XXXXXXX