Nyumba inapatikana Mwanza Busweru maria center nyumba ya tatu kutoka barabara ya lami, ina vyumba vinne vya kulala viwili master, choo na bafu vya public sebure kubwa dining jiko na stoo iko ndan ya fensi, pia kuna chumba cha gar(parking) umeme na maj vipo nyumba iko mitaa mizur, inauzwa 80million maongez yapoooo, karbu075XXXXXXX