BOMA LINUZWA BUSWELU
-ina vyumba vitatu vya kulala, viwili ni self contained, sebule, dinning room, jiko, na public toilet
-ukubwa wa eneo ni 25x20 [ pamepimwa ]
-hati miliki ipo mkononi
-umeme, maji na barabara vipo
-kuna tripu 5 za mchanga, tripu 4 za mawe pia na matofali yapo
call/sms/whatsapp