Nyumba inauzwa
location:bunju a,
umbali toka lami bagamoyo road mita 200 tu
bei tsh milion 200 maongezi yapo ya kutosha
ukubwa wa kiwanja sqm 900
pamepimwa (ulasimishaji)
nyumba kubwa vyumba v3 kulala vyumba 2 masters
seble kubwa
dinning
jiko
choo public
fenced and gate
maji yapo dawasco
umeme upo
pia kuna boy cotter ya ghorofa yenye chumba master na seble juu na chini kuna chumba seble,choo public na jiko la nje
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba(service charge) tsh 30,000/=
piga simu kwa maelezo zaidi