Nyumba iko mapinga Mtambani,
Ipo karibu sana na barabara,
Ukubwa wa eneo Sqmt 300
Vyumba 3 kimoja masta
Sitting room,
Dining
Kitchen & store
Nyumba iko kwenye eneo zuri.
Umiliki hati za serikali za mitaa
Bei mil 55
mazungumzo kidogo yapo
Nipigie au what app msg