Nyumba nzuri sana ya kisasa inauzwa bunju mingoi, iko umbali wa kilomita 1.5 toka main road (bagamoyo road)
area: sqm 800
price : mil 50
umiliki :hati
sifa zake-:
-vyumba vitatu vya kulala
-chumba kimoja ni master
-sebule
-jiko
-stoo
-choo cha public
-maji na umeme
-ndani ya fence
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
kujiunga na group let la whatsapp gusa hii link: (imdllmbz)