#nyumba_inauzwa
ipo ~ dar es salaam - tz
mahali ~ bunju mianzini - near kairuki hospital
____________________
bei ~ tsh mil 69,000,000/=
maongezi yapo
_________________
ukubwa kiwanja chake sqm - 345
________________
nyumba kubwa ya familia
yenye
______________
vyumba vitatu vikubwa vya kulala
sebule kubwa
jiko lenye makabati ,heater ya kuchemshia maji
____________
nyumba ipo umbali wa meter 600 moja kutoka barabara ya bagamoyo
lakini pia ipo umbali wa meter 20 kutoka barabara ya lami ya kairuki
____________
tuwasiliane
___________
#cal071XXXXXXX