• Mahali: Buguruni Sheli
• Nyumba: Fremu 4 na stoo zake
• Ukubwa kiwanja: Mita za mraba (sqm) 200
• Nyaraka: Leseni ya makazi
• Bei: TZS 280,000,000
.
Inatazama Mandela Road
Fremu zote zina wapangaji
Eneo ni maarufu kwa biashara ya vifaa vya ujenzi
Eneo ni kiungo cha kona zote za Dar es Salaam