Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa milioni 60 maongezi yapo ipo *bagamoyo mjini* (kitopeni street) - dar es salaam - tanzania
ina vyumba vitatu vya kulala
◇master bedroom
sitting room
dining room
◇ kitchen
◇store
public toilet
◇ nyumba ina servant cotta
◇ nyumba ina mpangaji kodi ni laki 370 kwa mwezi (nyumba kubwa laki 250 servant cotta laki 120) jumla ni tsh 370 kwa mwezi.
ukubwa wa kiwanja: sqmt 500
◇document clean title deed ( hati miliki kutoka wizara ya aridhi)
◇maji safi dawasco umeme vyote vipo ndani ya nyumba
◇umbali 150 tu kutoka bara ya ya lami ya bagamoyo two dar es salaam au stendi
◇noted: ukishuka kwenye gari unatembea tu kwa mguu kwenda nyumbani.