Shamba limekamata main road (bagamoyo-msata road) linauzwa kiwangwa bagamoyo. liko umbali wa kilomita 105 toka mwenge dar-es-salaam
loc : kiwangwa bagamoyo
area :ekari 100
price : mil 850
umiliki :hati ya kimila
n.b linakatwa kuanzia ekari 50
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
huduma zote zipo... gharama ya kupelekwa site ni sh elf 50. hii haihusishi usafiri
kujiunga na group letu la whatsapp gusa link: