Shamba zuri sana linauzwa bagamoyo karibu na mwetemo hotel. ni kilomita 2 tu toka barabara ya bagamoyo msata. linaweza kukatwa kwa kuanzia ekari 20. barabara nzuri ipo na maji yanapita
loc :bagamoyo mwetemo hotel
area :ekari 100
price : mil 200
umiliki :mkataba wa serikali ya kijiji
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
huduma zote zipo... gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30. hii haihusishi usafiri
kujiunga na group letu la whatsapp gusa link:
mahitaji yako ya nyumba / vyumba/maeneo ya biashara ... ya kupanga na kununua... mashamba/viwanja/ magari nk ... usisite wasiliana nasi haraka