Ni nyumba ambayo imefikia 80% ya Ujenzi bado 20%, Sebule kubwa, vyumba vikubwa na eneo lililobaki ni kubwa pia, Ipo jirani na ulipo Uwanja wa Mpira mpya unaojengwa mahsusi kwa mashindano ya Afcon mwakani,
Hii nyumba unaweza kuifanya Ya Kuishi, au Apartment au Air BnB, au Ofisi za Tours n.k.
Eneo la nje unaweza kuongeza nyumba nyingine kubwa na space ikabaki, Upande wa nyuma kuna space pia unaweza weka mabanda ya kuku
Nyumba hii Ipo katika mazingira yaliyojengeka haswa, Ina Umeme, maji, Barabara inapitika, na Ipo karibu na Barabara, Shule ya msingi na Sekondari zipo Karibu na nyumba hii, Uwanja wa Ndege upo pia karibu... ni Eneo Zuri sana
Nasubiri simu yako Boss tumalize hii biashara chap uipate fursa hii adimu
Au077XXXXXXX