NYUMBA INAUZWA (BEI: 170M):
Ipo Kisongo karibu na Braeburn School.Ipo Umbali wa Mita 500 kutoka barabara kuu-Lami.
Ina
Nyumba 3 vyote ni Master,
Sebule
Dinning
Jiko
Store
Study Room/Ofisi
Choo cha jumuiya (public toilet)
Ina Fensi ya Ukuta na Geti lake,
Ipo sehemu yenye muonekano mzuri (View )
Kiwanza ni 73m×37m ni sawa na 2701 Sqm yaani NUSU HEKA na zaidi.
NB: INAHITAJI KUMALIZIWA
Bei: 170 milioni.
Karibu kwa Muhitaji!