*Eneo la Ekari 5 la uwekezaji lenye Gorofa moja, Lodge, Bar na Restaurant linauzwa Ngurdoto-Kiwawa, Arusha*
*Distance* Kutoka Moshi- Arusha Road mpaka kwenye eneo ni 4 KM
-Nyumba ina *vyumba 5 vya kulala*, chumba kimoja master bedroom, vyumba 4 juu, kimoja chini, dinning room, sitting room, public toilet.
*Lodge* ina vyumba self contained vya kulala 8, Bar, Kitchen na Restaurant.
-Swimming pool na nyumba ya wafanyakazi eneo ni kubwa sana nafasi kubwa imebaki kufanya ujenzi wa kitu kingine.
-Hati ipo (Title deed)
*Bei ni shilingi 1.2 Bilioni maongezi yapo*