VIDONDA VYA TUMBO, (Peptic ulcers).
Vidonda vya tumbo (Peptic Ulcers) ni ugonjwa unaompata mtu ambapo kunatokea vijitundu au michubuko katika kuta za ndani za viungo vya mfumo wa uyeyushaji chakula.
Utajuaje kama una
VIDONDA VYA TUMBO, (Peptic ulcer)
•Kifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali. • Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma kama sindano na kuacha maumivu makali
•Kichefuchefu
•Kiungulia
•Tumbo kujaa gesi
•Tumbo kuwaka moto
•Maumivu makali sehemu kilipo kidonda.
•Kukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika kama cha mbuzi.
• Kutapika nyongo.
•Kutapika damu au kuharisha.
•Kukosa hamu ya kula.
•Kusahahu sahau na kupatwa na hasira bila sababu