Kitambi,uzito mkubwa na nyama uzembe sio vitu vya kujivunia kama unabisha tulia hivo hivo ili uvune maumivu ya viungo,upumue kwa shida,ukose hamu ya kushiriki tendo mbaya zaidi unaweza kupata matatizo ya moyo,kisukari na ugumba
AFYA UPDATE
Usihesabu umeanguka mara ngapi, kama una nguvu, amka uipiganie afya yako, ndoa yako na furaha yako.