MAHOJIANO MUHIMU KWA WANAOPUNGUZA UZITO JIBU MASWALI YOTE.
.Kwa nini umeamua kupunguza uzito?
.Una uzito kilo ngapi?
.Na urefu futi/cm ngapi?
.Je uliisha wahi kutumia /,au unatumia uzazi wa mpango?
.Je uliisha wahi kupunguza uzito?
.Je hedhi (period) yako unapata kama kawaida?
.Je kwa sasa
unanyonyesha?
.Je unatamani kupunguza kilo ngapi?
.Uko tayari kuanza program na kufuata ushauri nitakao kuwa nakushauri?