Je huu ni wewe
1. je unakaa siku zaidi ya moja bila kupata choo?
2. je unapata choo kigumu na maumivu makali?
3. je unatumia muda mrefu chooni na wakati mwingine bila kutoa chochote?
4. je unatoa choo chenye harufu kali?
5. je huna hamu ya chakula?
6. je tumbo lako lina jaa gesi?
7. je umehangaika sana kupunguza uzito,tumbo kubwa na nyama uzembe?