Njia ya kwanza nzur na salama ya kupunguza tumbo lako ni kuepuka vyakula venye lehemu nyingi kitalamu tunaita cholesterol foods, kwa mfano vyakula hivyo ni soda,vyakula vya mafuta{chip's, visheti,keki,mandazi,vileja,soseji,baga,nk} nyamaa za ng'ombe ,mbuzi, na biscuits vinachangia kwa asilimia 80% tumbo kukushanya mafuta mengi na kuanza kuwa na kitambi,imagine wife material wako ana kitambi kama mbunge!!