Ujumbe muhimu kwako wewe mwenye dalili zifuatazo
1.kupata maumivu ya tumbo yanayokuwa kuwa kama moto (kuunguza) baada na kabla ya kula
2.kupatwa na kiungulia karibu na chembe ya moyo
3.kupata kichefuchefu na kutapika tena yawezekana kutapika dam
4.kupata haja kubwa yenye rangi ya kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya pia haja hiyo yaweza kuchanganyika na damu
5.kukosa hamu ya kula na kupungua kwa uzito
6.kushindwa kupumua vizuri
7.kupata maumivu ya mgongo na kiuno
8.kuhisi uchovu mwilini
9.tumbo kujaa gesi na kunguruma
10.kupata maumivu makali sehemu ya juu ya tumbo karibu na kifua.
dalili za hatari
1.kutapika damu.
2.kupata choo kikubwa cheusi au chenye damu nzito.
hizi ni baadhi ya dalili zinazojitokeza kwa wenye matatizo haya
1. vidonda vya tumbo (gastric ulcers)
2.kiungulia (heartburn)
3.tatizo tumbo kujaa gesi (gastroesophageal reflux